MBUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) aliyetenguliwa Ubunge na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) Riziki Ngwali amesema hujuma zilizofanywa ndani ya Chama hicho zinaweza kusababisha machafuko,
Riziki ambaye ni Mwanadiplomasia amesema hayo leo Jijini Dar es Salaam kwenye Ofisi ya wabunge wa Chama hicho kuwa hujuma zilizofanywa makusudi na watendaji wa Serikali ambao waliwajibika kulinda haki na Demokrasia
TAZAMA VIDEO NZIMA HAPA
Sign up here with your email