Akijibu maswali ya waandishi wa habari Katibu Mkuu wa Chadema, Vicent Mashinjiamesema, suala la Ukuta ni endelevu na siyo kufanya mikutano na mandamano pekee.
Amesema wananchi wengi wanapenda tudai katiba yetu kwa nguvu, lakini sisi kama chama tuna njia ambazo tumeziandaa.
Njia ya kwanza wanahoja binafsi ambayo italezea maboresho ya tume ya uchaguzi ambayo itawasilishwa bungeni.
“Pia tunatumia njia za kidiplomasia na kidemokrasia kuhakikisha kwamba suala hili linafika mwisho wake na endapo njia hizi hazitafikia lengo tutawaomba wananchi wachukue uongozi katika suala hilo,’’ amesema
Sign up here with your email