MBOWE AMBANA MAJALIWA KUHUSU MAAZIMIO YA BUNGE - Rhevan Media

MBOWE AMBANA MAJALIWA KUHUSU MAAZIMIO YA BUNGE



Dodoma. Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amemuuliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuhusu kutokutekelezwa maazimio ya Bunge ikiwemo Escrow, Tokomeza na mabilioni ya Uswiss.
Akijibu swali hilo Majaliwa alimuhakikishia Mbowe kuwa Serikali inaheshimu muhimili wa Bunge na kuthamini maamuzi yake.
Amesema kunahitajika uchunguzi wa kina na yapo ambayo yana umuhimu wa kuletwa bungeni hivyo uchunguzi wa Serikali utakapokamilika yatawasilishwa bungeni.







Previous
Next Post »