AJALI LUSANGA MUHEZ : WATU 4 WAFARIKI DUNIA , 15 WAJERUHIWA - Rhevan Media

AJALI LUSANGA MUHEZ : WATU 4 WAFARIKI DUNIA , 15 WAJERUHIWA

Watu 4 wamefariki na 15 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugonga lori katika Kijiji cha Lusanga Muheza. Majeruhi wapo Hospitali Teule ya Muheza. Bado tunafatilia Habari kwa kina



Previous
Next Post »