MADRID WAONGEZA KASI KUSAKA SAINI YA MBAPPE - Rhevan Media

MADRID WAONGEZA KASI KUSAKA SAINI YA MBAPPE


Hispania, Madrid. Mchezaji wa Real Madrid, Sergio Ramos amesema kwamba milango kwa timu hiyo ipo wazi kwa Kylian Mbappe ambaye amekuwa anahusisha kuhamia kwenye timu hiyo.
Mchezaji huyo raia wa Ufaransa anayeichezea Monaco, amekuwa gumzo Ulaya kutokana na kuonyesha kiwango cha juu kwenye mashindano ya Ulaya.
Mbappe (18) amekuwa kwenye mtego wa kila timu kubwa barani Ulaya zikiwamo Chelsea, Real Madrid, Barcelona na Manchester United.


Previous
Next Post »