KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA WAWAKILISHI WA VYAMA VYA SIASA KUZUNGUMZIA UCHAGUZI WA EAC - Rhevan Media

KATIBU WA BUNGE AKUTANA NA WAWAKILISHI WA VYAMA VYA SIASA KUZUNGUMZIA UCHAGUZI WA EAC

BUGU

Katibu  wa Bunge ambaye pia ni msimamizi wa Uchaguzi wa Wawakilishi wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashililah  akizungumza na wawakilishi mbalimbali wa Vyama vya Siasa kuhusu uchaguzi wa Wawakilishi wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashiriki. Wa kwanza kulia kwake ni Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
 BUGU 1
Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi akifafanua jambo katika kikao hicho.
 BUGU 2
  Wawakilishi mbambali wa Vyama vya Siasa wakifuatilia kikao hicho.

(Picha na Ofisi ya Bunge)
Previous
Next Post »