![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeJBPrOL_X9ZySu1DvmmfBguFHLfBrgK1HY7pIucpy89RyB7UN3hWqEgAjoYX7DTcXoV41HMmuESjNBthXC8CEAs9otYCkd9Kj7wqp_-ZlV_rlbQe0NpcahQZlH7a7ijfhqLi2Yda9517Y/s640/1.+BN647017.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Ilala, kwa kushirikiana na Wakala wa vipimo Tanzania (WMA), mkoa wa Ilala, amefanya ziara ya kustukiza katika maeneo mbalimbali, katika kampeni yake ya kudhibiti vipimo na mizani 'feki'. Pichani, Mjema akikagua mzani kwenye bucha moja eneo la Kariakoo, Dar es Salaam, akiwa katika ziara hiyo, Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo na kulia ni mfanyakazi katika bucha hiyo, Omar Khalfan.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqlhqvtH2bAjx1vGPbwrV-9FyStnT86-PoKwE6uQh8b20MtUQI9_q3Pl8WbzbdIum_5OVeUog3gfBIkhk74vG1vS4iijFtCxeemDcZQSbai9Z-GGx9N8dP3YDBzeB0NVYRCccrNtZemov_/s640/BN646897.jpg)
Kaimu Meneja wa WMA mkoa wa Ilala, Alban Kihulla, akimuonyesha Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema (kulia), jinsi ya kutofauisha mizani 'feki' na ile iliyo bora, kabla ya kuendelea na ziara nje ya ofisi hiyo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEia-8kM5goYosL0H1Avtld_kM4FHEPvvKwwIc5wfROb6JUWC59JRH7oNmtqOUHemcidbYxBeB5Qap6ynkGnNVN8E6EvLGJ6kTsDFEUJC40ZkBm-JxCurPlQkkjyNTssl_2_mXrc8P3Yx9OL/s640/BN646917.jpg)
Mjema akionyeshwamizani malimbali feki na iliyo bora, katika karakana ya WMA mkoa wa Ilala
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgE7Qo0yRdbiKTCZQzoSCZX131xg9NsV-InxKqO4sjIf7Ej1_QoXFE-hJX0ccJ39uYAUiubMC6O_68Cozu4VzPpXtcnYdhY8ewWgH4_woyXJxFi-zKHruoWqnZyeaDtP0z5tVDgeC9z_VbH/s640/BN646959.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema akizungumza na wapokea mizigo hasa ya viazi mviringo, katika mitaa ya Kariakoo, Dar es Salaam, kuhusu umuhimu wa akuepuka kupokea magunia yaliyojazwa kwa mtindo wa Lumbesa, kwa kuwa utaratibu huo unakiuka vipimo halisi na hivyo kutia serikali hasara kwa kuwa siyo kipimo halali
div>
Sign up here with your email