Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage,akizungumza na viongozi wa Asasi isiyo ya Kiserikali ya Wasaa-Tanzania Chapter inayojishulisha na bidhaa za kilimo kusini mwa jangwa la sahara, wakati wa ufunguzi wa semina ya kuwajengea uwezo wanawake katika fursa za uwekezaji wa viwanda iliyofanyika katika ukumbi wa 5s uliyopo eneo la Bahari beach Ununio,Dar es Salaam jana.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage,akiongoza na Rais wa Asasi isiyo ya Kiserikali ya Wasaa-Tanzania Chapter inayojishulisha na bidhaa za kilimo kusini mwa jangwa la sahara, Margaret Chacha, wakati wa ufunguzi wa semina ya kuwajengea uwezo wanawake katika fursa za uwekezaji wa viwanda iliyofanyika katika ukumbi wa 5s uliyopo eneo la Bahari beach Ununio,Dar es Salaam jana.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, akizungumza katika ufunguzi wa semina ya kuwajengea uwezo wanawake katika fursa za uwekezaji wa viwanda iliyoandaliwa na Asasi isiyo ya Kiserikali ya Wasaa-Tanzania Chapter inayojishulisha na bidhaa za kilimo Kusini mwa Jangwa la Sahara iliyofanyika katika ukumbi wa 5s uliyopo eneo la Bahari beach Ununio,Dar es Salaam jana.
Sign up here with your email