MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA SHERIA YA USALAMA BARABARANI KWA MTAZAMO WA VISABABISHI VITANO VYA AJALI - Rhevan Media

MAPENDEKEZO YA MABORESHO YA SHERIA YA USALAMA BARABARANI KWA MTAZAMO WA VISABABISHI VITANO VYA AJALI

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya mambo ya nje, Ulinzi na usalama, Katiba na sheria  Mtandao na Mbunge wa Muheza Mhe. Balozi Adadi Rajabu akiongea na  wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania 
Wajumbe wa Mtandao wa wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania
wakipewa somo
Wajumbe wa Mtandao wa wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania wakifuatilia mada
Mjumbe wa kamati ya bunge ya mambo ya nje, Ulinzi na usalama, Katiba na sheria Mhe. Profesa Anna Tibaijuka akitoa neno
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya mambo ya nje, Ulinzi na usalama, Katiba na sheria  Mtandao na Mbunge wa Muheza Mhe. Balozi Adadi Rajabu katika picha ya pamoja na baadhi ya wabunge na wadau kutoka asasi za kiraia unaotetea marekebisho ya sheria na sera ihusuyo usalama barabarani Tanzania 


Previous
Next Post »