Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akimtunuku Shahada ya Uzamivu ya Kiswahili “DOCTOR OF PHILOSOPHY IN KISWAHILI” 2015/2016 Bw.Hussein Ali Hussein katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja (kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akimtunuku Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Kemia “MASTER OF SCIENCE IN CHEMISTRY”Nd.Issa Juma Salim katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) akimtunuku Shahada ya Uzamili ya Sayansi ya Mazingira “MASTER OF SCIENCE IN ENVIROMENTAL SCIENCE” Saklim Masoud Msabaha katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) kutoa hutuba yake kwa wananchi katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Wahitimu wa Shahada ya Sayansi na Elimu walipotunukiwa shada yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Wahitimu wa Shahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira walipotunukiwa shada yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Baadhi ya Wahadhiri wakisimama wakati Wimbo wa Taifa ukipigwa na Kikundi cha Brass Band cha Polisi katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya Chuo Kikuu cha Tifa cha Zanzibar SUZA yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA” (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Baadhi ya Viongozi mbali mbali wa Serikali wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya Chuo Kikuu cha Taifa cvha Zanzibar “SUZA” yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja ambapo mgeni rasmi akiwa , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA”.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA” (wa pili kushoto) akifuatana na Makamo Mkuu wa Chuo Prof. Idriss Ahmada Rai pamoja na Viongozi wengine katika Gwaride la maandamano wakati wa sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja (kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma.
Baadhi ya Wahadhiri na wanataaluma wakiwa katika Gwaride la maandamano wakati wa sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA” .
Baadhi ya wanataaluma wakiwa katika Gwaride la maandamano wakati wa sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho yaliyofanyika leo katika kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA” .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA” (katikati) akiwapungia mkono wananchi na wanalaaluma alipowasili katika viwanja vya kampasi ya Tunguu ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA”Mkoa wa Kusini Unguja leo katika sherehe ya mahfali ya kumi na mbili ya chuo hicho (wa pili kulia) Makamo Mkuu wa Chuo cha “SUZA”Prof. Idriss Ahmada Rai.
Baadhi ya wanataaluma wakisimama wakati mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar “SUZA” alipowasili katika viwanja vya kampasi ya Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja palipofanyika Mahfali ya kumi na mbili ya Chuo hicho leo ,ambapo Wahitimu mbali mbali walitunukiwaVyeti,Stashahada na Shahada ,[Picha na Ikulu.] 21/01/2017.
Sign up here with your email