ENEO LILILOKUWA KIOTA MAARUFU CHA CLUB BILLICANAS BAADA YA KUTEMBEZEWA NYUNDOZZ rhevanstudio 14:04:00 rhevanstudio Hivi ndivyo lionekanavyo eneo lililokuwa na kiota maarufu cha burudani Club Billicanas, baada ya kutembezwa nyundozz na wamiliki wa eneo hilo ambao ni Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), sijui ni kitu gani kingine kitajengwa katika eneo hili. Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email