Washiriki
wa Matembezi ya hisani ya kuadhimisha Siku ya Mtoto Njiti Duniani
yaliyotaribiwa na Taasisi ya Doris Mollel wakiwa na bango lenye ujumbe
wa kuadhimisha siku hiyo, iliyoadhimishwa kitaifa Mjini Unguja, Zanzibar
Novemba 19, 2016. Matembezi hayo yalianzia katika Uwanja wa Amani
kupitia Uwanja wa Tumbaku na kuishia Viwanja vya Maisara.
Baadhi
ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakijumuika pamoja
Wadhamini na Waratibu wa Matembezi ya hisani ya kuadhimisha Siku ya
Mtoto Njiti Duniani, wakishiriki Matembezi hayo, yalianzia katika Uwanja
wa Amani kupitia Uwanja wa Tumbaku na kuishia Viwanja vya Maisara,
Mjini Unguja, Zanzibar.
Brass
Band ya Chuo cha Mafunzo, Zanzibar ikiongoza Matembezi ya hisani ya
kuadhimisha Siku ya Mtoto Njiti Dunian, iliyoadhimishwa kitaifa Mjini
Unguja, Zanzibar Novemba 19, 2016.
Matembezi hayo yalianzia katika Uwanja wa Amani kupitia Uwanja wa
Tumbaku na kuishia Viwanja vya Maisara.
Mkuu
wa Kitengo ya Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Vodacom Tanzania,
Jacqueline Materu akiwa pamoja na Muanzilishi wa Taasisi ya Doris
Mollel, Doris Mollel pamoja na washiriki wengine katika Matembezi ya
hisani ya kuadhimisha Siku ya Mtoto Njiti Duniani, yaliyoadhimishwa
kitaifa Mjini Unguja, Zanzibar Novemba 19, 2016.
Mgeni
Rasmi katika hafla ya Matembezi ya hisani ya kuadhimisha Siku ya Mtoto
Njiti Duniani, Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Harusi Said Suleiman
akitoa hotuba yake, katika hafla ya Kilele cha siku ya Mtoto Njiti
Duniani, iliyoadhimishwa
kitaifa Mjini Unguja, Zanzibar Novemba 19, 2016. Vodacom ndio Wadhamini
wakuu walioeza kufanyikisha shughuli hiyo. Kulia ni Muanzilishi wa
Taasisi ya Doris Mollel na Mratibu wa Matembezi hayo, Doris Mollel na
kushoto ni Mkuu wa Kitengo ya Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Vodacom Tanzania, Jacqueline Materu.
Sign up here with your email