Idris, raia wa Nigeria mwenye umri wa miaka 21, amekuwa akipaka viatu rangi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Ndoto ya Idris ni kumiliki kiwanda kikubwa cha kutengeneza rangi ya viatu, lakini kwa sasa ameamua kuwa mpaka viatu rangi kwenye mitaa ya mji wa Abuja.
Sign up here with your email