KINARA WA MATUSI INSTAGRAM AKAMATWA NA POLISI BAADA YA KUMTUKANA SUPER STAA WA BONGO WA BONGO - Rhevan Media

KINARA WA MATUSI INSTAGRAM AKAMATWA NA POLISI BAADA YA KUMTUKANA SUPER STAA WA BONGO WA BONGO

Kijana mmoja ambaye anatumia jina la Shilolekiuno_official Huko Instagram  hatimae amekamatwa na jeshi la polisi kwa kutukana na kukashifu watu mbali mbali mtandaoni, kijana huyo amekuwa akiandika matusi mazito na kukashifu watu mbalimbali akiwemo Mwanamuziki Diamond,

 Jana Baada ya Diamond Kutangaza Kuleta Perfume mpya zenye jina lake sokoni, mtu huyo anayetumua jina la @shilolekiuno_officail aliingia mtandaoni na kuandika matusi makubwa ambayo siwezi kuyaweka hapa kuhusu Perfume hiyo ya Diamond

Meneja wa Diamond Ameandika Haya:


Lemutuz Naye Ameandika Haya:
Previous
Next Post »