HUU NDIO UHARIBIFU ULIOTOKEA JANA UWANJA WA TAIFA WAKATI WA MCHEZO WA SIMBA NA YANGA - Rhevan Media

HUU NDIO UHARIBIFU ULIOTOKEA JANA UWANJA WA TAIFA WAKATI WA MCHEZO WA SIMBA NA YANGA

Hivi haya makundi ya wahuni ni nani anaye yaendekeza? Hebu jionee uharibifu wa Viti katika uwanja wa Taifa DSM wakati wa mchezo wa Yanga na Simba.

Huu uhuni na wahuni wahusika wanapaswa wachukuliwe hatua stahiki. Haiwezekani mali ya Taifa inaharibiwa kiasi hiki, Ikumbukwe kuwa hii tabia si Mara ya kwanza kujitokeza.

Hivyo Mamlaka zikishindwa kuchukua hatua stahiki wajue kuwa ipo siku hili litatojea tena 1475340850233.jpg 1475340856559.jpg 1475340861318.jpg 1475340866671.jpg
Previous
Next Post »