HATMAYE BODI YA MCC YAFUNGA RASMI OFISI ZAKE DAR - Rhevan Media

HATMAYE BODI YA MCC YAFUNGA RASMI OFISI ZAKE DAR

Tokeo la picha la BODI YA MCC TANZANIA
Hatimaye bodi ya MCC (Shirika la changamoto za milenia) imefunga rasmi ofisi zake zilizoko jijini Dar es Salaam na kuondoka nchini.
Hayo yanajiri miezi sita tangu bodi hiyo kusitisha rasmi misaada kwa Tanzania. Aidha kufungwa kwa ofisi hizo kumeambatana na kusitishwa kwa ajira za watanzania kadhaa waliokuwa wakifanya kazi na MCC nchini Tanzania ikiwemo shughuli za utafiti.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake!

Chanzo: Mwananchi
 
Previous
Next Post »