MAHAKAMANI KISUTU : WATATU MIKONONI MWA POLISI KWA KUBEBA MABANGO YA KUMKASHIFU MTUKUFU RAIS MAGUFULI. - Rhevan Media

MAHAKAMANI KISUTU : WATATU MIKONONI MWA POLISI KWA KUBEBA MABANGO YA KUMKASHIFU MTUKUFU RAIS MAGUFULI.


Jana wafuasi wa UKAWA walitiwa mbaroni baada ya kutoke mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa kumkashifu Mtukufu Mkuu sana, Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Baadhi ya Mabango yalikuwa yanasomeka...

Dikteta uchwara utashindwa
Dikteta uchwara nenda Burundi



Previous
Next Post »