Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ akizungumza na Maofisa wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar
wakati wa kikabidhi msaada wa magodoro kwa ajili ya Wanafunzi wa Chuo
cha Mafunzo Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Mafunzo
Kilimani Zanzibar.
Kamishna
Msaidizi wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar Omar Salum Mgaza akitowa shukrani
kwa PBZ kwa msaada wao huo wa magodoro umeletwa wakati muafaka na
kuwata taasisin nyengine kujitokeza kutoa misaada.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg.Juma Ameir akisalimiana na Muuguzi Dhamana wa
Hospitali ya Kidongochekundu Zanzibar Ndg. Haji Vuai Hilal, wakati
walipofika katika hospitali hiyo ya Mental kutowa misaada ya mashuka 200
kwa ajili ya hospitali hiyo. katikatika Afisa Masoko wa PBZ Ndg.
Mohammed Nuhu.
Mkurugenzi
Mtendaji wa PBZ Ndg Juma Ameir akitowa zawadi kwa Wateja wa PBZ ikiwa
ni shamrashamra za kusherehekea miaka 50 ya PBZ kuazisha kutowa huduma
za Kibenki Zanzibar.
Wateja wa PBZ wakiwa katika Tawi la Malindi Zanzibar wakisubiri kupata huduma za Kibenki katika tawi hilo.
Sign up here with your email
