Msanii wa Bongo Fleva Menina amewaacha watu midomo wazi mara baada ya kufunga ndoa mpya huku ikiwa ni uthibitisho kuwa hayuko tena na aliyekuwa mumewe, mtoto waWaziri Sospeter Muhongo Peter Muhongo ambaye alibadili jina na dini ili kumuoa Meninah. Meninah ameonekana kwenye picha ambayo aliipost mwenyewe kupitia Mtandao wake wa Instagram
Hii ni picha ya mwaka jana wakati Mtoto wa Muhongo akifunga ndoa na Meninah
Sign up here with your email
