MSASA WA SDGS WANEDELEA UDOM, VITIVO VYAKAMILIKA - Rhevan Media

MSASA WA SDGS WANEDELEA UDOM, VITIVO VYAKAMILIKA




Mtaalamu wa mawasiliano katika Ofisi ya Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, Hoyce Temu akiendesha mafunzo ya Malengo ya Maendeleo Endelevu Duniani (SDGs) kwa nia ya kuwawezesha kutumia maarifa yake kusukuma mbele maendeleo ya mkoa wa Dodoma kwa wanafunzi wa vitivo mbalimbali na walimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) yaliyomalizika jana chuoni hapo.(Picha na Modewjiblog)
Mwanafunzi wa Digrii ya kwanza ya Mifumo ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Janeth Dutu akiuliza swali kwa mkufunzi wa mafunzo hayo (hayupo pichani) wakati wa mafunzo ya siku mbili ya Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Dunia (SDGs) kwa wanafunzi na walimu wa UDOM yenye nia ya kuwawezesha kutumia maarifa yake kusukuma mbele maendeleo ya mkoa wa Dodoma ambayo yameandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini na kumalizika jana chuoni hapo.
Previous
Next Post »