

Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu,
akitoa hotuba yake wakati wa Uzinduzi wa Taasisi ya Basila Mwanukuzi
(Basila Mwanukuzi Empowerment Foundation), uliofanyika kwenye Ukumbi wa
Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam leo Aprili 11, 2016.

Mwanzilishi
wa Taasisi ya Basila Mwanukuzi (Basila Mwanukuzi Empowerment
Foundation), Basila Manukuzi, akizungumza machache wakati wa hafla ya
uzinduzi wa Taasisi yake hiyo yenye lengo la kusaidia wanawake kuinua
uwezo wao wa kibunifu ili kujiinua kiuchumi hasa Mama Lishe uliofakika
leo Aprili 11, 2016 kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es
salaam.

Picha ya pamoja na baadhi wa Wageni wa waalikwa pamoja na Kina Mama Lishe.
Sign up here with your email