Ripoti kutoka mji wa Aleppo nchini Syria, zinasema kwamba yamkini raia 16 wameuwawa katika shambulio la angani lililolenga hospitali moja na majumba yaliyokuwa karibu. Shambulio hilo lilitekelezwa na majeshi ya serikali. Watoto ni miongoni mwa waliouwawa.
Sign up here with your email
