WATU 16 WAUAWA SHAMBULIO LA MAREKANI ALEPPO. - Rhevan Media

WATU 16 WAUAWA SHAMBULIO LA MAREKANI ALEPPO.

Shambulio

Image copyrightAFP
Image captionShambulio lilitekelezwa na majeshi ya Marekani
Ripoti kutoka mji wa Aleppo nchini Syria, zinasema kwamba yamkini raia 16 wameuwawa katika shambulio la angani lililolenga hospitali moja na majumba yaliyokuwa karibu. Shambulio hilo lilitekelezwa na majeshi ya serikali. Watoto ni miongoni mwa waliouwawa.
Previous
Next Post »