Kundi la muziki Aika na Nah real wamepewa dili la kuitangaza airtel Mtandao wa simu.Wapenzi hao wawili wataitangaza huduma ya Jipime Yatosha.Hii ni hatua nzuri kwa wasanii hao wanaochipukia kwa kasi nchini Tanzania na barani Afrika.
Sign up here with your email