Waziri
wa Nchi,Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mh. Angellah Kairuki
(Mb) akifungua Mafunzo kuhusu Mfumo Shirikishi wa Taarifa za Kiutumishi
na Mishahara (HCMIS) kwa Makatibu Tawala na Wakurugenzi wa Mamlaka za
Serikali za Mitaa Tanzania yaliyofanyika mjini Dodoma.
Katibu
Mkuu Utumishi Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza wakati wa Mafunzo
kuhusu Mfumo Shirikishi wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS)
kwa Makatibu Tawala na Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa
Tanzania yaliyofanyika mjini Dodoma.
Mmoja
wa washiriki wa Mafunzo kuhusu Mfumo Shirikishi wa Taarifa za
Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya
Manispaa ya Tabora Bibi. Sipora J. Liana akiuliza swali wakati wa
mafunzo yaliyofanyika mjini Dodoma.
Mmoja
wa washiriki wa Mafunzo kuhusu Mfumo Shirikishi wa Taarifa za
Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) akiuliza swali wakati wa mafunzo
yaliyofanyika mjini Dodoma.
Sehemu
ya washiriki wa Mafunzo kuhusu Mfumo Shirikishi wa Taarifa za
Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) wakimsikiliza mgeni rasmi Mh. Angellah
Kairuki (Mb), (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo
–Dodoma.
Sign up here with your email