KIGOGO WA SERIKALI AJIACHIA HADHARANI NA MPIRA WA KIKAPU. rhevanstudio 19:00:00 rhevanstudio Mkuu wa wilaya Iringa Kasesela , baada ya kazi jana alijiunga na wana chuo cha RUCU kucheza mpira wa kikapu Mchezo ambao alikuwa akicheza enzio hizo. Mkuu huyo wa wilaya aliahidi kuukuza mchezo huo mkoani Iringa. Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email