
RWANDA: Aliyekuwa kamanda mkuu wa kikosi cha ulinzi wa Rais Kagame, Tom Byabagamba amehukumiwa kifungo cha miaka 21 jela, amepatikana na hatia ya kuharibu sifa ya nchi na kuhamasisha wananchi kupinga utawala. Amepinga hukumu hiyo na kusema mashtaka yake yalichochewa kisiasa.
Sign up here with your email