Huduma ya treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda Bara ilisimama kwa muda kadhaa kutokana eneo korofi baina ya stesheni za kilosa mkoani Morogoro na Gulwe Mkoani Dodoma. April 28 2016 taarifa imetolewa kwamba eneo hilo korofi limetengemaa hivyo Huduma ya usafiri wa treni ya abiria kutoka Dar es salaam kwenda mikoa mingine kwa kutumia reli […]
Sign up here with your email
