HII NDIYO TANZANIA IJAYO. rhevanstudio 10:13:00 rhevanstudio Ifikapo mwaka 2018, Tanzania inategemea kuanza kuuza umeme wa Megawatt 2,000 kwa Kenya. Mradi huo unagharimu shilingi Bilioni 600. Mradi huo unafadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB) Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email