Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana(kulia) Mbunge wa Mkuranga Abdallah Ulega (Wapili kushoto) na Mbunge wa Nachingwea, Hassan Masala baada ya kuwasili kwenye uwanja w ndege wa Dodoma kuhudhuria kikao cha Bunge kinachotarajiw kuanza Aprili 19, 2016.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Sign up here with your email