
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Mh. Nape Nnauye amempongeza mwanamuziki wa nyimbo za Asilimrisho mpoto kwa kuiona fusra na kukomaa kwenye sanaa ya muziki, mbali na kumpongeza ameufananisha wimbo wake wa 'Sizonje' kama amemwandikia Rais wa awamu ya tano Mh. John Magufuli azidi kutumbua majipu...
Sign up here with your email
