RAIS MAGUFULI AMTEUA RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA. - Rhevan Media

RAIS MAGUFULI AMTEUA RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA.




Rais Magufuli achaguliwa na Marais wote wa Afrika Mashariki kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mwaka mmoja zaidi.

- Jamhuri ya Watu wa Sudani Kusini yajiunga rasmi kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

- Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa JMT, Benjamin William Mkapa, achaguliwa kuwa msuluhishi wa mgogoro wa Burundi chini ya Uongozi wa Rais Yoweri Museveni.
Previous
Next Post »