
Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni mheshmiwa Freeman Mbowe amesema haridhishwi na mtindo wa rais Magufuli kufukuza watumishi wa umma bila kuwasikiliza.
Aliyasema hayo mbele ya maaskofu akidai kuwa zaidi ya watumishi 160 wameondolewa kazini pasipo kusikilizwa huu sio utawala bora alidai mh Mbowe.
Sign up here with your email
