WAZIRI MKUU KUWAITA VIONGOZI WOTE WA DINI. - Rhevan Media

WAZIRI MKUU KUWAITA VIONGOZI WOTE WA DINI.

Embedded image permalink
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ataitisha kikao cha viongozi wa dini zote hivi karibuni ili wapange na kuainisha ni mambo gani ambayo wanaweza kutoa ushauri kwa Serikali na kupata njia bora ya kuwahudumia Watanzania.
Previous
Next Post »