WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA MTU KAZI. - Rhevan Media

WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA MTU KAZI.



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kusimamishwa kazi kwa Dk. Fortunatus Namahala wa kitengo cha upasuaji katika hospitali ya Ligula Ambayo ni hospitali mkoa wa Mtwara kutokana na tuhuma za kumdai mgonjwa rushwa ya sh. 100,000/-.
Previous
Next Post »