WAZIRI MKUU AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI. - Rhevan Media

WAZIRI MKUU AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI.



Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa  ofisi ya Waziri Mkuu Wakati alipotoa maagizo ya Rais Dk. kuhusu  mawaziri ambao bado hawajajaza fomu za Tamko la Rasilimali na Madeni wawe wamejaza Fomu hizo na kuzirejesha katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Dar es Salaam ifikapo leo saa 12.00 jioni
Previous
Next Post »