MUFTI WA TANZANIA ASIFIA HUDUMA ZA MUHIMBILI. - Rhevan Media

MUFTI WA TANZANIA ASIFIA HUDUMA ZA MUHIMBILI.


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na WatotoPongezi hizo amezitoa leo Jijini Dar es Salaam mbele ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Viongozi wengine wa Serikali, Viongozi wa Vyama vya Siasa, Viongozi wa Taasisi mbalimbali, Masheikh, Madaktari pamoja na Waandishi wa Habari waliohudhuria mkutano Hospitalini hapo.
Mufti Zubeiry ameeleza kuwa, yeye pamoja na Familia yake pamoja na Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) wanatoa shukurani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Joseph Magufuli kwa msaada wa kumwezesha kupata matibabu hospitalini hapo pamoja na watu wengine waliofanikisha matibabu hayo kwa namna moja au nyingine.
Previous
Next Post »