MEYA AKATAA GARI LA MILIONI 150. rhevanstudio 12:11:00 rhevanstudio Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji Hussein J Ruhava amekataa kununuliwa gari ya tshs 150m na kuelekeza fedha hizo kwenda kwenye matumizi ya maendeleo na haswa miundombinu ya mji Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email