
Mbunge wa Bunda Mjini,Esther Bulaya (Chadema), ametamba kuendelea kumshinda mpinzani wake, Stephen Wasira (CCM), kwa madai kwamba alipata ubunge huo kihalali. Bulaya alisema hayo ikiwa ni siku moja tangu kutupwa kwa rufaa ya wanachama wa CCM waliokuwa wakipinga ushindi wa mbunge huyo alioupata katika Uchaguzi Mkuu.
Sign up here with your email