JIPU LA BODI YA MIKOPO LATUMBULIWA. - Rhevan Media

JIPU LA BODI YA MIKOPO LATUMBULIWA.



Waziri wa Elimu Prof Ndalichako asitisha mkataba wa Mkurugenzi wa bodi ya mikopo na wengine wa 4 kwa utendaji mbovu

:Waziri wa Elimu Prof Ndalichako Amewateua wafuatao ku Kaimu nafasi Bodi ya Mikopo Nchini Kwanzia Leo

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji mteule ni Bw.Jerry Sabi kutoka Mzumbe University na Kaimu Mhasibu Mkuu mteule ni Bw. Daniel Mafie kutoka NECTA
Previous
Next Post »