BUNDUKI YAKUTWA CHOONI. rhevanstudio 18:31:00 rhevanstudio Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,Ramadhan Mungi akionesha Bunduki aina ya Short Gun iliyokamatwa ikiwa imefichwa katika tundu la Choo katika eneo la Shirimatunda katika manispaa ya Moshi. Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email