WAZIRI ATOA TAMKO ZITO. rhevanstudio 17:36:00 rhevanstudio Ubia wa TTCL na Bharti Airtel kufikia kikomo mwisho wa mwezi huu. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Prof Makame Mbarawa ametangaza uamuzi huu wa serikali. TTCL kurejea kuwa mali ya Umma kwa 100%. Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email