SAIGON SPORTS CLUB YAFANYA UCHAGUZI, MWENYEKITI NI MAHMOUD MBARAK MAHFOUDH, KATIBU BOI JUMA RISASI - Rhevan Media

SAIGON SPORTS CLUB YAFANYA UCHAGUZI, MWENYEKITI NI MAHMOUD MBARAK MAHFOUDH, KATIBU BOI JUMA RISASI


Picha ya pamoja baada ya uchaguzi wa Saigon Sports Club leo katika ukumbi wa shule yasekondari ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto waliosimama: Mohamed Mmafia, Hamida Iddi Simba, Juma Abedi Spencer, Mahmoud Mbarak Mahfoudh, Mzee Iddi Simba, Salim Matimbwa, Boi Juma Risasi, Mussa Shagow, Muharami Mkamba, Mohamed Tall na alie kaa chini ni mwanachama mwandamizi Nasser. 

Orodha kamili ya viongozi 
wapya wa Saigon Sports Club:
1. Mwenyekiti - Mahmoud Mbarak Mahfoudh.
2. Makamu Mwenkekiti - Juma Abeid Spencer
3. Katibu Mkuu -  Boi Juma Risasi
4. Katibu Msaidizi - Mohamed Msitu
5. Mweka hazina - Mussa Khamis Shagow.
6. Mweka  hazina msaidizi - Abdul Risasi 
Wajumbe 4 wanaume.
*Ali Selemani Kabunju.
*Muharami Mkamba.
*Rashid Sultan.
*Mohamed Bakari Tall.
Wajumbe 2 wanawake 
*Hamida Iddi Simba
*Awena Kitama

 Mwenyekiti - Mahmoud Mbarak Mahfoudh akitoa neno la shukrani baada ya kuhitimishwa kwa uchaguzi mkuu wa Saigon Sports Club


 Walioketi ni wajumbe Mohamed Bakari Tall na Ali Selemani Kabunju.
 Wajumbe Muharami Mkamba, *Rashid Sultan na Hamida Iddi Simba 

katika dua



 Wajumbe wa mkutano wakiitikia dua
Viongozi wapya wa Saigon Sports Club wakiitikia dua baada ya uchaguzi uliokuwa huru na wa haki. Wa pili kulia Mwenyekiti  Mahmoud Mbarak Mahfoudh na kulia ni Makamu Mwenyekiti Juma Abeid Spencer. Kulia mwa Mwenyekiti ni Katibu Boi Juma Risasi, akifuatiwa na Mweka hazina  Mussa Khamis Shagow na Mohamed Mmafia, 

Previous
Next Post »