Picha ya pamoja baada ya
uchaguzi wa Saigon Sports Club leo katika ukumbi wa shule yasekondari ya Mnazi
Mmoja jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto waliosimama: Mohamed Mmafia,
Hamida Iddi Simba, Juma Abedi Spencer, Mahmoud Mbarak Mahfoudh, Mzee Iddi
Simba, Salim Matimbwa, Boi Juma Risasi, Mussa Shagow, Muharami Mkamba, Mohamed
Tall na alie kaa chini ni mwanachama mwandamizi Nasser.
Orodha kamili ya viongozi
wapya wa Saigon Sports
Club:
1. Mwenyekiti - Mahmoud
Mbarak Mahfoudh.
2. Makamu Mwenkekiti -
Juma Abeid Spencer
3. Katibu Mkuu -
Boi Juma Risasi
4. Katibu Msaidizi -
Mohamed Msitu
5. Mweka hazina - Mussa
Khamis Shagow.
6. Mweka hazina
msaidizi - Abdul Risasi
Wajumbe 4 wanaume.
*Ali Selemani Kabunju.
*Muharami Mkamba.
*Rashid Sultan.
*Mohamed Bakari Tall.
Wajumbe 2
wanawake
*Hamida Iddi Simba
*Awena Kitama
Mwenyekiti - Mahmoud Mbarak Mahfoudh akitoa neno la shukrani baada ya kuhitimishwa kwa uchaguzi mkuu wa Saigon Sports Club
Walioketi ni wajumbe Mohamed Bakari Tall na Ali Selemani Kabunju.
Wajumbe Muharami Mkamba, *Rashid Sultan na Hamida Iddi Simba
katika dua
Wajumbe wa mkutano wakiitikia dua
Sign up here with your email