Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa ametoa wiki moja kwa waajiri nchini kuwapa mikataba ya ajira vibarua wao.Waziri huyo ametoa kauli hiyo alipokuwa akikakugua kituo cha Chiko ujenzi wa barabara Dodoma-Arusha unapoendelea,alitoa masaa 12 kwa vibarua wa kampuni hiyo ya ujenzi kuajiriwa.
Sign up here with your email