UCHAGUZI WA MEYA JIJINI DAR WATUA MAHAKAMANI. rhevanstudio 22:03:00 rhevanstudio CCM imekimbilia Mahakamani kuweka zuio la uchaguzi wa Mayor jiji la Dar kesho. Mahakama imetupilia mbali ombi lao na kuagiza uchaguzi ufanyike kama ulivyopangwa. Tweet Share Share Share Share Sign up here with your email